Back to home

Wazazi wa Uasin Gishu walilia haki baada ya washukiwa katika sakata la ufadhili wa masomo kuachiliwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 29, 2026
52m ago
Baadhi ya wazazi waliopoteza fedha zao kupitia mpango uliokumbwa na sakata wa kuwapeleka wanafunzi kusoma nchini Finland na Canada katika Kaunti ya Uasin Gishu wanaendelea kulilia haki kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu ya Nakuru kuwaachilia huru Seneta Jackson Mandago na washtakiwa
Advertisement