Back to home
Polisi wavunja makundi ya wahalifu waliokuwa wakitekeleza uporaji Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
53m ago
Kamanda wa polisi hapa Nairobi, Issa Mohamud, amesema kuwa operesheni ya maafisa wa polisi imefanikiwa kuvunja makundi kadhaa ya wahalifu yaliyokuwa yakihusika na uporaji wa kutumia silaha na wizi wa simu za mkononi katika maeneo mbalimbali ya Nairobi.
Advertisement
Advertisement




