Back to home
Wakazi wa Kwale wataka ukarabati wa haraka wa daraja la Marere
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2026
56m ago
Wakazi wa maeneo ya Kinango na Kwale mjibi wanaitaka mamlaka ya barabara Kuu nchini (KeNHA) kuharakisha ukarabati wa daraja la Marere lililovunjika siku mbili zilizopita ili kurejesha usafiri wa kawaida kati ya Kinango na Kwale.
Advertisement
Advertisement





