Back to home
Huduma za matibabu zatatizika katika hospitaliza umma za kaunti mbali mbali nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
2h ago
Huduma za matibabu zatatizika katika hospitaliza umma za kaunti mbali mbali nchini, baada ya viongozi wauguzi kuanza mgomo. Wauguzi hao walalamikia mazingira duni ya kazi na kupuuzwa kwa mkataba wa makubaliano wa 2025-2029 kati yao na serikali za kaunti.
Advertisement
Advertisement





