Back to home
Ndovu 14 wamekufa katika wiki mbili Kimana katika mbuga ya Amboseli.
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
2h ago
Ndovu zaidi ya kumi wakufa katika hifadhi ya wanyamapori ya Kimana iliyoko katika mbuga ya Amboseli. Tembo hao wafariki kutokana kemikali zenye sumu zikisiwazo kutoka kwenye mashamba ya wakulima eneo hilo . Shirika la huduma kwa wanyamapori -KWS - sasa latoa tahadhari kwa hifadhi
Advertisement
Advertisement





