Back to home

Polisi wachunguza mauaji ya daktari aliyepigwa risasi ndani ya teksi jijini Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 30, 2026
2h ago
Maafisa wa polisi jijini Nairobi waanzisha uchunguzi kuhusu kupigwa risasi na kuuawa kwa daktari victoria Nthunya Mutiso aliyekuwa mkurugenzi katika shirika la utafiti la afya ya akili na ubongo.
Advertisement