Back to home
Maafisa watatu wa zamani wa hazina ya CDF Igembe Kaskazini wafikishwa mahakamani kwa madai ya wizi w
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
1h ago
Watu Watatu Waliokuwa Maafisa Wa kusimamia Hazina ya Eneo bunge La Igembe Kaskazini kati ya Mwaka 2014/15 Wamefikishwa Mahakamani Meru kwa madai ya Wizi wa shilingi Milioni 4.8
Advertisement
Advertisement



