Back to home
Shule ya kitaifa ya wavulana kwale yaadhimisha matokeo bora ya KCSE 2025
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
1h ago
Shule ya kitaifa wavulana ya Kwale ilijumuika katika hafla ya kuadhimisha matokeo bora zaidi katika ukanda wa Pwani huku jumla ya wanafunzi 403 walioukalia mtihani wa KCSE 2025 wakitarajiwa kujiunga na vyuo vikuu baada ya kupata alama ya a hadi c+.
Advertisement
Advertisement


