Back to home

Maafisa saba wakamatwa kwa sakata la zabuni Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 30, 2026
2h ago
Maafisa saba wa sasa na wa zamani wa Kaunti ya Nakuru wamekamatwa na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa tuhuma za kuhusika na ulaghai wa zabuni za kaunti zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 120. Wakati huo huo, EACC imepata ushindi katika kesi za kurejesha
Advertisement