Back to home

Wanafunzi wengi wakosa elimu ya teknolojia Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 31, 2026
2h ago
Huku shule za sekondari nchini zikijitahidi kuimarisha miundomsingi ya teknolojia ikiwemo ujenzi wa maabara za kisasa za kompyuta, wazazi katika kaunti ya Busia watakiwa kupiga jeki juhudi hizo nyanjani kwa kuwawezesha wanafunzi kuendeleza masomo hayo kwa rununu..
Advertisement