Back to home
Viongozi kutoka chama cha Jubilee wajiunga na UDA
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 1, 2026
2h ago
Baadhi ya viongozi katika chama cha Jubilee wameondoka na kujiunga na chama tawala cha UDA. Viongozi hao wamekaribishwa katika chama hicho na naibu rais Kithure Kindiki.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Ke
Advertisement
Advertisement




