Back to home

Kenya Kwanza imeshabikia ruwaza ya Rais Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 1, 2026
1h ago
Viongozi wa kenya kwanza wanasema Rais William Ruto ana uungwaji mkono thabiti katika eneo la Mlima Kenya na kuwataka wakenya kuunga mkono ajenda mpya ya maendeleo aliyoratibu Alhamisi. Viongozi hao wanasema serikali imepiga hatua kubwa katika miradi ya maendeleo kwenye maeneo ya
Advertisement