Back to home

Radio Citizen yashirikiana na waumini katika ibada Rongo

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 2, 2026
3h ago
Radio Citizen imezuru eneo la Rongo, kaunti ya Migori, kwa ibada ya Jumapili ambapo mamia ya waumini walijumuika na kupata fursa ya kukutana na watangazaji wao wanaowapenda. Ziara hiyo iliwaleta pamoja wasimamizi na watangazaji wa Radio Citizen waliohudhuria ibada katika Kanisa
Advertisement