Back to home

Watu watatu wafariki kwenye ajali ya barabara Machakos

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 3, 2026
2h ago
Watu watatu wamefariki papo hapo kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha bodaboda na gari aina ya nissan ndogo almaarufu maruti karibu na soko la Mutituni, barabara ya Machakos–Kangundo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by
Advertisement