Back to home

KNCCI yasema kiwanda cha mafuta katika Kaunti ya Lamu kitaimarisha uchumi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 4, 2026
1h ago
Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda maarufu Kenya National Chambers of Commerce and Industry chaamini kuwa mradi upendekezwao wa kiwanda cha kusafisha mafuta katika Kaunti ya Lamu utaimarisha uchumi wa eneo hilo na kuboresha maisha ya wakazi, hasa vijana.
Advertisement