Back to home

Harambee Starlets yatolewa WAFCON baada ya kichapo dhidi ya Algeria

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 4, 2026
3h ago
Timu ya taifa ya soka kwa wanawake Harambee starlets imebanduliwa nje ya kombe la mataifa bora barani afrika kufuatia kichapo cha mabao 2-0 Mikononi mwa Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi hapo jana ugani Olimpic rabat nchini Morocco.
Advertisement