Back to home

Seneta wa kaunti ya Bungoma David wakoli akemea siasa za mgawanyiko

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 4, 2026
4h ago
Seneta wa Kaunti ya Bungoma, David Wakoli, amekemea siasa za mgawanyiko, akisema kila Mkenya ana haki ya kuunga mkono mrengo wa kisiasa anaouchagua bila vitisho au ubaguzi akisema viongozi wanapaswa kuhubiri umoja na kuheshimu misingi ya demokrasia badala ya kutoa matamshi yanayo
Advertisement