Back to home
Mwanamke Bomba| Faith Soila kuwawezesha wanawake na vijana kupitia lugha ya Kijerumani
video
C
Citizen TV (Youtube)August 4, 2026
2h ago
Mwanamke Bomba jioni ya leo ni Faith Soila Lasoi ambaye, kama njia mojawapo ya kutoa shukrani kwa jamii yake, anatumia maarifa aliyopata baada ya kuishi nchini Ujerumani kwa takriban miaka kumi kuwawezesha wakazi wa kijiji cha Oloirien, Kaunti ya Narok. Faith anahifadhi utamaduni
Advertisement
Advertisement




