Back to home

Hofu ya wahudumu wa afya kwa watu wengi wanaogua magonjwa yasiyoambukizwa Malindi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 5, 2026
2h ago
Wataalamu wa afya katika Kaunti Ndogo ya Malindi waelezea wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa visa vya magonjwa yasiyoambukizwa huku wakiripoti kupungua kwa kasi kwa visa vya malaria katika eneo hilo.
Advertisement