Back to home
DCI yamsaka mshukiwa wa wizi wa magari na dawa za kulevya
video
C
Citizen TV (Youtube)August 5, 2026
1h ago
Maafisa wa Upelelezi wa DCI wanamsaka mshukiwa mmoja wa wizi wa magari na ulanguzi wa dawa za kulevya aliyetoweka eneo la Kahawa Sukari wiki moja iliyopita. Samuel Omondi Audi anaripotiwa kuagiza gari la kukodi kutoka eneo la Utawala akidai kuwa alinuia kusafiri kuelekea Mombasa
Advertisement
Advertisement



