Back to home
Seneta Khalwale awapa siku saba wahusika wa uchimbaji haramu wa dhahabu katika Mto Yala kuondoka
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 5, 2026
2h ago
Siku mbili tu baada ya uchunguzi wa NTV kufichua madai ya uchimbaji haramu wa dhahabu Mto Yala, uchimbaji unaodaiwa kufanywa na raia wa China, Seneta wa Kakamega Bonny Khalwale amewapa siku saba wahusika hao kuondoka eneo hilo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenya
Advertisement
Advertisement





