Back to home
Wakaazi wa Kiembeni kaunti ya Mombasa walalamikia tatizo la maji taka
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Wakaazi wa Kiembeni walalamikia tatizo la maji taka ambayo wasema imekuwa kero kwa muda mrefu. Hali hii yababisha baadhi ya wakazi kuhama makazi yao kwa hofu ya mchipuko wa magonjwa
Advertisement
Advertisement





