Back to home

Wauguzi pamoja na na matabibu katika kaunti ya Nyamira washauriwa kusitisha mgomo wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 6, 2026
3h ago
Wauguzi pamoja na na matabibu katika kaunti ya Nyamira washauriwa kusitisha mgomo wao mara moja na kurejea kazini, baada ya serikali ya kaunti hiyo kwa ushirikiano na kaunti nyingine zote nchini kuelekea mahakamani na kupata agizo la kushinikiza kusitishwa kwa mgomo huo.
Advertisement