Back to home
Busia: vijana wahusishwa kwenye mchezo wa kandanda Ili kutoa hamasa dhidi ya uhuni na mihadarati
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 6, 2026
3h ago
Kama mojawapo ya njia za kukabili matumizi ya mihadarati katika Kaunti ya mpakani ya Busia, vijana katika eneo bunge la Matayos kaunti hiyo wamehusishwa kwenye hafla ya mchezo wa kandanda, mbali na kuhamasishwa kuhusu uhalifu na uhuni.
Subscribe and watch NTV Kenya live for late
Advertisement
Advertisement





