Back to home
Kenya yaanza vyema Kombe la Afrika la Hockey 5s
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
3h ago
Timu ya magongo ya Kenya ya vijana wasiozidi miaka 18 imeanza vyema mashindano ya Kombe la Afrika la Vijana kwa ushindi mara mbili katika siku ya kwanza ya mashindano yanayoendelea katika klabu ya Sikh Union.
Advertisement
Advertisement




