Back to home
Siha na maumbile | Wataalamu wahimiza unyonyeshaji wa maziwa ya mama
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
2h ago
Maziwa ya mama ni chakula kamili na salama zaidi kwa mtoto mchanga huku wataalamu wa afya wakishauri mtoto kunyonyeshwa bila kupewa chakula chochote kile kwa miezi sita ya kwanza baada ya kuzaliwa. Hii leo katika siha na maumbile Jacinta Mburu muuguzi kutoka Equity Afia anatuelez
Advertisement
Advertisement





