Back to home
Wafugaji wa maziwa katika kaunti ya Nandi wahamasishwa kutumia mbinu bora za ufugaji
video
C
Citizen TV (Youtube)August 7, 2026
2h ago
Wafugaji wa maziwa katika kaunti ya Nandi wahamasishwa kutumia mbinu bora za ufugaji ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na kuhakikisha viwango vya juu vya usafi vyazingatiwa katika mnyororo mzima wa uzalishaji. Mafunzo hayo yandaliwayo na bodi ya maziwa Kenya yawaleta pamoja wafug
Advertisement
Advertisement





