Back to home

Shule ya upili ya wavulana ya Kakamega yashinda St. Mary's Yala mabao 3 kwa 2

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 7, 2026
1h ago
Shule ya upili ya wavulana ya Kakamega iliishinda St. Mary's Yala mabao 3 kwa 2 katika fainali na kutawazwa mabingwa wa kitaifa wa michezo ya shule za upili ya muhula wa pili iliyoisha mjini Thika, kaunti ya Kiambu. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news tod
Advertisement