Back to home
ODM waonya wapinzani dhidi ya siasa za ukabila
video
C
Citizen TV (Youtube)August 8, 2026
2h ago
Viongozi wa ODM wamewaonya baadhi ya viongozi wa upinzani dhidi ya kujipiga kifua kuhusu ushawishi wao wa kisiasa. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Gladys Wanga, viongozi hao waliokuwa eneo bunge la Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay, wameonya dhidi ya kuendeleza siasa za ukabila na kuwatak
Advertisement
Advertisement





