Back to home

Mashabiki wa Arsenal washinda Kutubuti Cup Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 9, 2026
1h ago
Mashabiki wa kipindi cha Kutubuti kwenye kituo cha Bahari FM kinachodhaminiwa na Royal Media Services walikongamana mjini Mombasa kwa mashindano ya kila mwaka ya Kutubuti Cup. Mashabiki wa timu ya Arsenal walinyakuwa ubingwa kwenye mchuano huo uliofanyika kwenye uwanja wa Serani
Advertisement