Back to home
IEBC yaweka kikomo cha matumizi ya kampeni za urais kuwa Sh6.1 bilioni
video
C
Citizen TV (Youtube)August 9, 2026
1h ago
Tume ya uchaguzi nchini IEBC imeratibu matumizi ya pesa za kampeni huku wanaotaka kuwania urais sasa wakitakiwa kutotumia zaidi ya shilingi bilioni 6.1. Kwenye kanuni hizi, matumizi ya maeneo bunge na ugavana yamewekwa kuambatana na ukubwa wa kimaeneo na watu, kama Brenda Wanga a
Advertisement
Advertisement





