Back to home
KMPDC yachunguza madai ya mama kukataliwa huduma wakati wa kujifungua
video
C
Citizen TV (Youtube)August 9, 2026
1h ago
Baraza la madaktari nchini KMPDC linachunguza tukio ambapo mwanamke alilazimika kujifungua mwenyewe, baada ya hospitali iliyokuwa karibu naye kukataa kumhudumia. KMPDC sasa ikisema hospitali hiyo huenda ikafungwa na uchunguzi unaendelea. Mama huyo na mwanawe wako salama kwa sasa,
Advertisement
Advertisement



