Back to home
Gachagua amshambulia DCI Amin,adai washukiwa wa mauaji ya Mutiso waliachiliwa
video
C
Citizen TV (Youtube)August 9, 2026
1h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua ameendeleza mashambulizi yake dhidi ya Mkurugenzi wa DCI Mohamed Amin, sasa akidai maafisa wawili wanaodaiwa kusakwa walikamatwa na kuachiliwa kwa njia tata wiki jana. Gachagua amedai wawili hao wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya Daktari Victoria Muti
Advertisement
Advertisement




