Back to home
Rais William Ruto asema muungano wa UDA na ODM lazima ushinde uchaguzi wa 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)August 10, 2026
1h ago
Rais William Ruto sasa anasema muungano wa chama cha uda na ODM lazima upate ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. akizungumza katika kongamano la viongozi wa muungano huo huko naivasha, rais Ruto ameelezea mafanikio ya serikali yake anayosema yataupa muungano huo ushindi a
Advertisement
Advertisement





