Back to home

Upinzani waahidi kushirikiana kumng’oa Ruto mwaka 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 10, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani wakiongozwa na kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, leo walikuwa katika Kaunti ya Kitui ambako walisisitiza kuwa watashirikiana kuhakikisha wanamuondoa mamlakani Rais William Ruto mwaka ujao. Katika Kaunti hiyo ya Kitui, Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna aliendele
Advertisement