Back to home

Maafisa wa kutekeleza sheria katika Kaunti ya Nandi wapendekeza mafunzo ya kifedha na ujasiriamali

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 11, 2026
2h ago
Maafisa wa kutekeleza sheria katika Kaunti ya Nandi wapendekeza mafunzo ya kifedha na ujasiriamali kwa watu wajihusishao na utengenezaji na uuzaji wa pombe haramu, wakisema hatua hiyo yaweza kuwa suluhisho la kudumu katika kukabiliana na biashara hiyo.
Advertisement