Back to home
Maafisa wa kutekeleza sheria katika Kaunti ya Nandi wapendekeza mafunzo ya kifedha na ujasiriamali
video
C
Citizen TV (Youtube)August 11, 2026
2h ago
Maafisa wa kutekeleza sheria katika Kaunti ya Nandi wapendekeza mafunzo ya kifedha na ujasiriamali kwa watu wajihusishao na utengenezaji na uuzaji wa pombe haramu, wakisema hatua hiyo yaweza kuwa suluhisho la kudumu katika kukabiliana na biashara hiyo.
Advertisement
Advertisement





