Back to home
Usafiri wavurugika zaidi baada ya daraja la Migori kuelekea Isebania kuporomoka
video
C
Citizen TV (Youtube)August 11, 2026
4h ago
Shughuli za uchukuzi zinaendelea kusambaratika katika barabara kuu ya migori kuelekea mpakani isebania baada ya daraja kuu la migori kuporomoka zaidi.
Advertisement
Advertisement





