Back to home
Geoffrey Kamworor awashauri wanariadha chipukizi kujituma ili kufikia kiwango cha juu
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 12, 2026
2h ago
Bingwa wa dunia mara tatu wa nusu marathon, Geoffrey Kamworor, amewataka wanariadha chipukizi kuwa na nidhamu na kujituma katika mazoezi ili kufikia viwango vya juu.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya ne
Advertisement
Advertisement





