Back to home

Ruto apendekeza kamati ya kitaifa ya ruwaza ya Kenya baada ya 2030

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 12, 2026
1h ago
Rais William Ruto amependekeza kubuniwa kwa kamati ya kitaifa itakayochukua maoni ya Wakenya kuhusu ruwaza ya baada ya mwaka wa 2030. Akizungumza alipozindua mazungumzo ya kitaifa kuhusu kubadilisha mustakabali wa taifa la Kenya kufikia viwango vya mataifa yaliyostawi, Rais Ruto
Advertisement