Back to home
Wafugaji Kajiado watumia teknolojia kuboresha vinasaba vya mifugo
video
C
Citizen TV (Youtube)August 12, 2026
1h ago
Juhudi za kuendeleza sekta ya mifugo nchini Kenya zinaelekezwa zaidi kwenye uboreshaji wa aina za mifugo na uzalishaji. Katika Kaunti ya Kajiado, wafugaji wanatumia mbinu za kisasa za kuboresha vinasaba kwa lengo la kupata wanyama wenye nguvu na uwezo mkubwa wa uzalishaji. Kwenye
Advertisement
Advertisement





