Back to home

Kaunti za Kisumu, Siaya na Vihiga zaanzisha mpango wa kupunguza uharibifu wa chakula

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Serikali za kaunti za Kisumu, Siaya na Vihiga vimeanza mchakato wa kudhibiti uharibifu wa chakula, haswa maboga yanayochukua muda mrefu sokoni. Chini ya mradi unaofadhiliwa na shirika la UNEP, wachuuzi na wakulima watahusishwa katika ukusanyaji wa vyakula hivyo, ili kugawanyia sh
Advertisement