Back to home

Wahudumu wa uchukuzi Malindi wakosa ufahamu wa sheria za barabarani

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Asilimia kubwa ya wahudumu katika sekta ya uchukuzi mjini Malindi kaunti ya Kilifi hawana ufahamu kuhusu sheria za barabarani wakati wanapoendeleza shughuli zao. Haya yamebainika katika mkutano.
Advertisement