Back to home
Wandani wa Ruto wamshambulia Gachagua kwa kuikosoa serikali mara kwa mara
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 13, 2026
1h ago
Katibu mratibu wa UDA na Mbunge wa Mwala, Vincent Musyoka Kawaya, amemshambulia vikali aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua kwa kuikosoa mara kwa mara serikali ya Rais William Ruto, akisema kuwa Wakenya wanahitaji matokeo na suluhu za kweli badala ya siasa za maneno.
Subsc
Advertisement
Advertisement




