Back to home

Ruto amshutumu Uhuru kwa kufadhili upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Rais William Ruto amemtaja Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta Kuwa Mfadhili mkuu wa Upinzani akimtaja kuwa nyuma ya pazia ya siasa za Upinzani ili kuwafadhili mahasimu wake kushindana naye debeni katika uchaguzi wa mwaka wa 2027. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara huko eldoret, Rais
Advertisement