Back to home

River Yala: Uchimbaji wa dhahabu wasitishwa lakini mashine bado iko ndani ya mto, wahusika hawapo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Ni siku saba baada ya Seneta wa Kakamega Boni Khalwale kutoa makataa kwa raia wa Kichina wanaodaiwa kuchimba dhahabu kinyume cha sheria katika Mto Yala. Khalwale aliwataka waondoke la sivyo wananchi wangechukua hatua kali dhidi yao. Uchimbaji umesitishwa, lakini mashine ya kuchim
Advertisement