Back to home

MCK yazindua mwongozo wa kuripoti uchaguzi wa 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 14, 2026
1h ago
Baraza la Wanahabari nchini Kenya limezindua mwongozo mpya wa kuwaelekeza wanahabari wanapoandaa taarifa wakati wa uchaguzi mkuu mwaka ujao. Baraza hilo linasema mwongozo huo unazinduliwa wakati ambapo sekta ya habari inakabiliwa na changamoto mpya, ikiwemo matumizi ya akiliunde
Advertisement