Back to home

Wakazi wa Nyayo waandamana kupinga unyakuzi wa ardhi ya umma

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 14, 2026
1h ago
Wakazi wa mtaa wa Nyayo, Embakasi, wameandamana kupinga kile wanachodai ni unyakuzi na ugavi wa ardhi ya umma katika eneo hilo. Wakazi hao wanasema viwanja vingi vilitengwa kwa ajili ya ujenzi wa shule, uwanja wa michezo pamoja na miundombinu mingine ya kijamii, lakini vinadaiwa
Advertisement