Back to home
Taharuki Ngomeni kufuatia ongezeko la wafugaji wa ngamia
video
C
Citizen TV (Youtube)August 14, 2026
1h ago
Hali ya taharuki imeshuhudiwa katika eneo la Ngomeni, eneo bunge la Mwingi Kaskazini, huku wakazi wakiwa na wasiwasi kufuatia ongezeko la wafugaji wa ngamia katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement




