Back to home

Msafara wa Gachagua wavamiwa tena Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 15, 2026
1h ago
Msafara wa Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua kwa mara nyingine tena umevamiwa na wahuni katika Kaunti ya Nakuru. Shambulio hilo lilitokea katika eneo la Salgaa muda mfupi baada ya naibu huyo wa zamani wa rais kumtaka Rais William Ruto kukoma kumshambulia Rais mstaafu Uhur
Advertisement