Back to home
Wanaharakati Lamu wataka haki za wakazi waathiriwa na mradi wa kiwanda
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
1h ago
Muungano wa wanaharakati kisiwani Lamu umetaka serikali kuhakikisha wakazi wanaoathiriwa na mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta wanalindwa dhidi ya kunyanyaswa na wanapewa haki zao.
Advertisement
Advertisement





